Get well KIDBWOY.

Ni siku mbili Baada ya Upasuaji wa jicho Ambapo kid Bwoy amefanyiwa Upasuaji huo hosptal ya rufaa Muhimbili dar,,,Jicho lilivia Damu baada ya Matatizo yaliyompata KID Mwaka jana..Kutokana na maelezo yake kwa sasa anaendelea vizuri hata hiyo Bandage Ilishatolewa.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment